YUZOKHANMEDIA INAKULETE SHORT FILM YA AHMED SALUM MWAMWINDI

HISTORIA: Kesi ya Said Mwamwindi ambae ni mkulima ilivuma sana mwaka 1971 baada ya kumuua kwa kumpiga risasi mkuu wa mkoa wa Iringa wakati huo, Dkt. Wilbert Kleruu.

-Baada ya kumuua, alipakiza mwili wa marehemu kwenye gari na kwenda nayo kituo cha polisi kisha naye kujisalimisha.

FREE DDOWNLOAD HERE

👎👇👇⏬⏬🔽

WhatsApp YouTube
RSS
Follow by Email